SIKILIZA NYIMBO ZA EASYMEN HAPA:


Electronic Press Kit
Quantcast

Tazama Small Interview ya Easymen Studio Hapa:

Sunday, May 23, 2010

TWIGA STARS YAIBANJUA ERITREA MABAO 8 -1 !!!

Timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu wanawake maarufu kama Twiga Stars Jana iliweza kuwadhihirishia watanzania kwamba wako fiti baada ya kuilaza mabao 8 - 1 timu ya wanawake ya Eritrea,mchezo uliofanyika katika uwanja wa Uhuru.
Hongereni sana Twiga Stars kwa kututoa Kimasomaso watanzania.

No comments:

Post a Comment