SIKILIZA NYIMBO ZA EASYMEN HAPA:


Electronic Press Kit
Quantcast

Tazama Small Interview ya Easymen Studio Hapa:

Monday, May 24, 2010

HATIMAYE MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU YATOA HUKUMU YA MIAKA 2 JELA KWA AMATUS LIYUMBA!!!


MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo imesoma Hukumu dhidi ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Amatus Liyumba,Katika hukumu hiyo Liyumba amepatikana na hatia na kuhukumiwa kwenda jela miaka miwili dhidi ya kesi ya utumiaji mmbaya wa madaraka .
Hata hivyo jopo la wanasheria na mawakili wake wamesema hawakuafiki hukumu hiyo na hivyo wanatarajia kukata Rufaa.

No comments:

Post a Comment