SIKILIZA NYIMBO ZA EASYMEN HAPA:


Electronic Press Kit
Quantcast

Tazama Small Interview ya Easymen Studio Hapa:

Saturday, May 15, 2010

NANI MHUSIKA KUOKOA KITUO HIKI CHA USALAMA WA RAIA!!!

Hiki ni kituo cha Polisi cha kijiji cha Mchukuuni nje kidogo ya jiji la Tanga.ianvyoonekana kituo hiki kimetelekezwa kabisa na hata baadhi ya rasilimali kama Milango na Madirisha kutokuwepo.je wahusika mnataarifa na kituo hiki au ndo kusema maeneo haya Usalama wa Raia na Mali zao ni 100%.!!

No comments:

Post a Comment