SIKILIZA NYIMBO ZA EASYMEN HAPA:


Electronic Press Kit
Quantcast

Tazama Small Interview ya Easymen Studio Hapa:

Sunday, May 23, 2010

BAADA YA MVUA KUBWA KUNYESHA BAADHI YA MAKAZI KATIKA MAENEO YA DUGA JIJINI TANGA YAPO KATIKATI YA MAJI !!!!





Baadhi ya Wakazi wa Maeneo ya Duga Shamsil Maarif jijini Tanga wamelazimika kuyahama makazi yao kutokana na Maji mengi yaliyozunguka nyumba zao yaliyotokana na Mvua kubwa zilizokuwa zikinyesha na hadi kupelekea kuingia ndani ya Nyumba zao na kusababisha uharibifu wa Thamani (Fenicha).
Picha juu na chini ni taswira halisi ya makazi hayo katika majira ya leo mchana.baada ya Blog yenu ya Easymen ilipotembelea maeneo hayo na kujionea hali halisi.

No comments:

Post a Comment