BARABARA YA TANGA PANGANI IKIWA KATIKA KIUKARABATI KIDOGO ALASIRI HII!!
Hii ni barabara itokayo Tanga mjini kuelekea wilaya ya Pangani ikiwa katika matengenezo madogo ya kujaza vifusi ili kufukia mashimo mengi yaliyokuwepo kutokana na mvua kubwa zilizokuwa zikinyesha mkoani Tanga.
2morrow Recordz ni studio ya kisasa iliyopo katika jiji la Tanga,maeneo ya Nguvumali.Tunarekodi miziki ya aina yote.karibu sasa upate ofa maalum ya bei.
No comments:
Post a Comment