SIKILIZA NYIMBO ZA EASYMEN HAPA:


Electronic Press Kit
Quantcast

Tazama Small Interview ya Easymen Studio Hapa:

Saturday, May 15, 2010

PARTY IV KILI AWARDS !!!

Wanamuziki wawili kutoka FM academia walikuwepo kushow Love kushoto ni Prezidaa Nyoshi El Sadaat na Mtoto wa Kimara Jose Mara.
Mwanamuziki Marlow akishow love na tuzo yake ya wimbo bora wa Afro Pop.


Mwanamuziki Mrisho Mpoto (Mjomba) akitabasamu baada ya kupokea tuzo ya wimbo bora wa Kiafrika.

Wanamuziki wa Bandi ya African Stars Twanga Pepeta wakiwa pamoja na mkurugenzi mtendaji wa bendi hiyo Baraka Charles aliyeshika tuzo 3 wakifurahi baada ya kupata ushindi mara 3.bendi bora,wimbo bora na rapa bora aliopata Chokoraa.



No comments:

Post a Comment