SIKILIZA NYIMBO ZA EASYMEN HAPA:


Electronic Press Kit
Quantcast

Tazama Small Interview ya Easymen Studio Hapa:

Monday, May 24, 2010

MJUE MSANII TOKA TANGA AMBAYE KWA SASA ANISHI UK.TIZZLE!!!

Msanii kutokea jijini Tanga anayejulikana kwa jina la Tizzle ambaye hivi sasa anaishi nchini Uingereza kuonako jiji la London, amechia ngoma yake mpya inayoitwa 'Nameless' aliyomshirikisha Damuz.

Akiongea na Blog hii moja kwa moja kutokea Uingereza leo amesema kuwa ngoma hiyo ameifanya pale studio za East London kwenye studio moja inaitwa Mzuka Entertainment Rec chini ya producer Josh.

Tizzle aliongeza kuwa, anaamini ngoma hiyo itamuweka pazuri kunako ramani ya Bongo Flava na duniani kwa ujumla kwa kuwa ina kiwango cha kimataifa.




Tizzle ambaye kabla ya kwenda Uingereza alikuwa anaishi pale Majani Mapana na baadae kuhamia Bara Bara ya 15, kwa sasa yupo anajipanga kutoka na ngoma nyingine ya 'Hisia Zangu' ambayo atawashirikisha washkaji zake damuz, josh pamoja na danny.
Pia alisema mpango wa albamu unakuja na ataipa jina punde tu itakapokamilika. Stay tune to this Blog.



No comments:

Post a Comment