SIKILIZA NYIMBO ZA EASYMEN HAPA:


Electronic Press Kit
Quantcast

Tazama Small Interview ya Easymen Studio Hapa:

Saturday, May 22, 2010

HATIMAYE MRISHO NGASA KATUA AZAM FC RASMI !!!

Mchezaji wa Zamani wa Club ya Young African Mrisho Ngasa amefanikiwa kujiunga na Timu ya Azam Fc.kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Yanga Iman Madega siku ya jana alitamka rasmi kwamba Mrisho Ngasa sasa ni mchezaji halali wa timu ya Azam Fc.Mrisho ngasa amenunuliwa na Azam Fc kwa ada ya Uhamisho ya kitita cha Tsh Milioni hamsini na nane ( 58,000,000).

No comments:

Post a Comment