SIKILIZA NYIMBO ZA EASYMEN HAPA:


Electronic Press Kit
Quantcast

Tazama Small Interview ya Easymen Studio Hapa:

Saturday, June 19, 2010

Hiki ni chumba cha voco room kikiwa na full drums set.
Msanii anayewakilisha kundi letu la mziki linalojulikana kama EASY MEN.anajulikana kama Johnior

Mimi pia ninawakilisha kundi hilo najulikana kama Pashua.na ndio Editor wa Blog hii.


Huyu naye anajulikana kama Mido Man nye pia anawakilisha kundi letu.



Pichani anajulikana kama Kasam naye pia ni muwakilishi wa kundi letu la mziki la Easy men.na pia ni kundi pekee jijini Tanga linalomiliki studio yake yenyewe ya Audio.




No comments:

Post a Comment