
Waziri wa Fedha na Uchumi Mh, Mustapha Mkulo akiwasili katika viwanja vya Bunge na Mkoba wenye Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2010-2011 kabla ya kuiwasilisha jioni ya Leo.

Waziri Mkulo akiwasilisha Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2010-2011 Bungeni Dodoma Jioni ya Leo.
No comments:
Post a Comment