SIKILIZA NYIMBO ZA EASYMEN HAPA:


Electronic Press Kit
Quantcast

Tazama Small Interview ya Easymen Studio Hapa:

Sunday, June 20, 2010

SIKU YA UFUNGUZI RASMI WA STUDIO YETU YA AUDIO BAADA YA KUWA KATIKA VIUKARABATI KWA MUDA WA MIEZI 3 !!!

Pichani mimi Pashua na Mido Man mwenye Tshirt ya Man U tukishow love ndani ya Studio muda mfupi baada ya kuifungua rasmi.Studio hii inajulikana kama 2morow recodz iko jijini Tanga maeneo ya Nguvumali.Tunawakaribisha wanamuziki wanaofanya aina zote za Muziki.Pia tunawakaribisha wasanii wenye vipaji kwa ajili ya Lebo.
Picha za Graphics na kipupwe kwa mbali.

Mic ya Voco amabayo ni Condensor.


Full Set ya Guitars pia tunayo.wadau mshindwe wenyewe.



No comments:

Post a Comment