SIKILIZA NYIMBO ZA EASYMEN HAPA:


Electronic Press Kit
Quantcast

Tazama Small Interview ya Easymen Studio Hapa:

Saturday, June 26, 2010

MWANAMUZIKI JOSEPH MBILINYI MAARUFU KAMA MR II PROUD (SUGU) AJIUNGA NA RASMI NA CHAMA CHA CHADEMA !!

Pichani katika ni Mwanamuziki muasisi wa Bongo fleva nchini Mr 2 (Sugu) akionyesha kitambulisho kwa kutambulika rasmi kuwa mwanachama wa chama cha Chadema.Kushoto kwake ni Bw John Mnyika wa Chadema aliyemkabidhi Mr 2 Kitambulisho hicho.
Mr 2 amekuwa mwanamuziki wa pili hapa nchini kutangaza rasmi nia ya kujiunga na chama Demokrasia na maendeleo CHADEMA.Wakati wa kwanza kufanya hivyo ni mwanamuziki wa kike maarufu kama Nakaaya Sumari.

No comments:

Post a Comment