Pichani baadhi ya mgari yakiwa yamekwama kufuatia barabara hiyo kuwa mbovu na kusababisha wananchi kupata adha kubwa ya usafiri kwani magari mengi yamekuwa yakishindwa kupita kufuatia matope makubwa yaliyotokana na vifusi vilivyosambazwa katika barabara hiyo baada ya kunyesha mvua kubwa.
MATUKIO; ASKARI WAWILI WAJERUHIWA AJALI YA MOTO MLANDIZI
40 minutes ago
No comments:
Post a Comment