SIKILIZA NYIMBO ZA EASYMEN HAPA:


Electronic Press Kit
Quantcast

Tazama Small Interview ya Easymen Studio Hapa:

Tuesday, June 22, 2010

HATIMAYE MNYANGE WA KUIWAKILISHA TANGA APATIKANA !!!

Mnyange wa Miss Tanga 2010 Anna Kiwambo akiwa katika uso wa furaha punde tu baada ya kutangazwa kuwa mshindi katika mchakato huo uliofanyika katika hoteli ya Tanga Beach Resort iliyopo Sahare, Miss Tanga 2010 imeandaliwa na 5 Brothers Entertainment.
Pichani ni Aziza Khalifa ambaye pia ni Miss Pangani 2010 alipotangazwa kuwa mnyange wa Miss Talent Tanga 2010. Miss Pangani 2010 iliandaliwa na Anko Mo Blogspot.

Anna Kiwambo akiwa na washindi wengine, mshindi wa pili alikuwa ni Jari Mure, wa tatu ni Zuleha Mrisho. Nafasi ya nne alichukua Asia Gumbo na nafasi ya tano alinyakua Grace Joseph.


Tano Bora ya Miss Tanga 2010.


Mkuu wa mkoa wa Tanga Saidi Kalembo akimpa mkono wa hongera mnyange wa Miss Tanga 2010.




Msanii mahiri wa Bongo Flava kutokea Tanga Matonya, aki'show Love kwa Miss Tanga 2010.





Mrembo aliyekuwa anamaliza muda wake Glory Chuwa ambaye ni Miss Tanga 2009 akiwa katika tabasamu nono.






Majaji wakiwa makini na kazi yao.







Chifu jaji Musa Kisoki alikuwa na kazi ngumu ya kutangaza mshindi.
Kisoki ni mkurugenzi wa kampuni ya Sofia Production








No comments:

Post a Comment