SIKILIZA NYIMBO ZA EASYMEN HAPA:


Electronic Press Kit
Quantcast

Tazama Small Interview ya Easymen Studio Hapa:

Wednesday, April 27, 2011

RAMSEY ATUA JIJINI DAR KUREKODI FILAMU NA WASANII WA BONGO !!!


Ramsey(kushoto)akiwa na nguli wa Filamu nchini Steven Kanumba wakizungumza na waandishi wa habari juu ya filamu hiyo.
Msanii maarufu wa Filamu toka Nigeria Ramsey Tokumbo Nouah ametinga nchini kurekodi filamu na wasanii mbalimbali wa Tanzania akiwemo Steven Kanumba.akizungumza na waandishi wa habari jana mchana katika Hotel ya Peacok jijini Dar,Ramsey amesema Filamu hiyo itakuwa ya aina yake.

No comments:

Post a Comment