Friday, April 22, 2011
OPERESHENI VUA GAMBA YA CCM YAHAMIA IRINGA !!!
Nape Nnauye na John Chiligati wakiwa na baadhi ya wanachama wa CCM
Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, John Chiligati (katikati) akiwa na viongozi na wanachama wa CCM Mkoa wa Iringa, baada ya kumaliza mkutano wa hadhara kwa ajili ya oparesheni ya 'Vua Gamba' uliofanyika mjini Iringa jana. Wa pili kushoto ni Kamanda wa Vijana wa CCM, Mkoa wa Iringa, Salim
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment