SIKILIZA NYIMBO ZA EASYMEN HAPA:


Electronic Press Kit
Quantcast

Tazama Small Interview ya Easymen Studio Hapa:

Wednesday, April 13, 2011

KAGAME CUP KUFANYIKA SUDAN KUANZIA JUNE 21 HADI JULAI 5 !!!!


Rais wa RWANDA KAGAME akiwa na katibu mkuu wa CECAFA MUSONYE.
Michuano ya kombe la KAGAME inatalajiwa kuanza kutimua vumbi june 21 mpaka Julai 5 ambapo timu zitakzoshiriki mashindano hayo zinatakiwa kuthibitisha hadi kufikia April 30 mwaka huu.


Kwa mujibu wa barua kutoka kwa katibu mkuu wa CECAFA NICHOLAS MUSONYE anasema katika mashindano hayo timu ya MISRI itashiriki kama mwalikwa .

No comments:

Post a Comment