Friday, April 8, 2011
KUTOKANA NA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA LEO IMENILAZIMU KUFUFUA GARI YA OFISI ILI NIWEZE KUDUNDA MITAANI BILA YA KUHOFIA MVUA !!!
Pichani ni gari ambayo huwa mara nyingi naitumia kwa shughuli za ofisi ili kuweza kurahisisha mizunguko.leo ilinilazimu kutafuta mafundi wa kulifufua ili nianze kulitumia tena kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha jijini hapa na bila kipando kama hiki shughuli zitakwama.
Pichani fundi akiendelea kulifanyia matengenezo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment