SIKILIZA NYIMBO ZA EASYMEN HAPA:


Electronic Press Kit
Quantcast

Tazama Small Interview ya Easymen Studio Hapa:

Friday, April 8, 2011

MWENYEKITI WA CHADEMA MBEYA AJIUNGA CCM,RAIS KIKWETE AMPA KADI YA CCM MJINI DODOMA LEO !!!



Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akinyanyua mikono ya viongozi waandamizi wa Chadema mkoa wa Mbeya waliokihama chama hicho rasmi na kuhamia CCM mjini Dodoma leo mchana. Kushoto ni aliyekuwa katibu wa CHADEMA wilaya ya Ileje Henry Rafael Kayuni na kulia ni aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Mbeya Bw Shambwee Shitambala.kulia ni waziri wa maji ambaye pia ni mjube wa NEC,CCM Mkoa wa Mbeya Prof Mark Mwandosya



Mwenyekiti wa CCM Taifa Dkt Jakaya Kikwete akimpongeza aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Mbeya Bw Shamwee Shitamabala muda mfupi baada ya kupokea kadi ya CCM mjini Dodoma leo mchana.



Mwenyekiti wa CCM Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi kadi ya kujiunga na chama cha Mapinduzi aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Mbeya.wakati wa hafla fupi ya kumkaribisha CCM baada ya kukihama rasmi CHADEMA katika makao makuu ya CCM mjini Dodoma leo Mchana.

No comments:

Post a Comment