SIKILIZA NYIMBO ZA EASYMEN HAPA:


Electronic Press Kit
Quantcast

Tazama Small Interview ya Easymen Studio Hapa:

Wednesday, January 5, 2011

KUFUATIA MAANDAMANO YA CHADEMA YALIYOVUNJWA NA POLISI LEO JIJINI ARUSHA NA KULETA VURUGU VIONGOZI WA CHADEMA WATIWA MBARONI !!


Viongozi wa Chadema katika maandamano leo kabla ya kutawanywa na polisi na wengine kutiwa mbaroni.

Maandamano ya wanaosadikiwa kuwa ni wanachama na wapenzi wa Chadema yakikatisha mitaa ya Arusha.

Maandamano yakiwa yamepigwa Stop.

Polisi wakiyapiga Stop maandamano hayo.

Baadhi ya maeneo ya katikati ya Jiji la Arusha palikuwa hapatoshi.
Habari zaidi zinadai kwamba watu kadhaa walijeruhiwa katika vurugu zilitokea katika maandamano hayo.Pia imeelezwa kwamba Viongozi wa juu wa Chama cha Chadema akiwemo mwenyekiti,Freeman Mbowe, Katibu mkuu,Dr Wilbroad Slaa, Mbunge wa jimbo la Arusha mjini Mh Lema na Mbunge wa Moshi mjini,Mzee Ndesamburo wanashikiliwa na Jeshi la polisi kwa madai wao ndio chanzo cha kutokea kwa vurugu hizo za leo.
Mungu ibariki Arusha, Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika,Amen.

No comments:

Post a Comment