SIKILIZA NYIMBO ZA EASYMEN HAPA:


Electronic Press Kit
Quantcast

Tazama Small Interview ya Easymen Studio Hapa:

Thursday, January 27, 2011

BABA MZAZI WA BW MISOSI AFARIKI DUNIA !!


Baba Mzazi wa Mwanamuziki wa Bongofleva Joseph Rushau aka BWANA MISOSI Mzee Gabriel Rushau Amefariki Dunia leo asubuhi katika Hospital ya Regency jijini Dar.

Akiongea na blog hii majira wa saa 2 asubuhi Bw Misosi alisema naomba nikujulishe nawe uwajulishe na wengine kwamba baba yangu mzazi amefariki dunia.

Blog hii ya Eazy Men an washkaji wote wa Tanga tunakupa pole kwa msiba huo mkubwa ulioipata familia yako.na tunaiombea familia yenu iwe na uvumilivu katika kipindi hiki kugumu cha msiba mkubwa wa kumpoteza baba yenu mpendwa Mzee Gabriel Rushau.

Mungu Ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi na Ina lilah wa ina ilahi rajiun!

No comments:

Post a Comment