SIKILIZA NYIMBO ZA EASYMEN HAPA:


Electronic Press Kit
Quantcast

Tazama Small Interview ya Easymen Studio Hapa:

Monday, January 31, 2011

MUUMIN MWINJUMA ARUDI UPYA NA BENDI YAKE YA BWAGAMOYO SOUND !!!


Muumin Mwinjuma kocha wa dunia kama anavyojulikana kwa jina la kimuziki akiimba jukwaani wakati bendi yake ya Bwagamoyo ikiisindikiza African Stars Twanga Pepeta kwenye bonanza lao linalofanyika kila siku za Jumapili katika viwanja vya Leaders Club kinondoni jijini Daresalam.ambapo watu wengi waliojitokeza katika onesho hilo walionekana kuvutiwa na kibwagizo cha ghani zake,Japo kikombe cha chai nataka japo kimo.... kikombe cha kahawa.
Kundi zima la Bwagamoyo Sound likiongozwa na Muumin Mwinjuma kiongozi wa bendi hiyo katika onyesho lao lilifanyika katika viwanja vya Leaders Club.

Wanenguaji wa kundi la Bwagamoyo Sound wakionyesha vitu vyao katika onyesho lao katika viwanja vya Leaders jana Jumapili wakati bendi hiyo ilipoipa kampani bendi Nguli ya African Stars wana Twanga na Kupepeta.

No comments:

Post a Comment