SIKILIZA NYIMBO ZA EASYMEN HAPA:


Electronic Press Kit
Quantcast

Tazama Small Interview ya Easymen Studio Hapa:

Friday, January 21, 2011

KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM !!!


Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi, Rais Jakaya Kikwete akiendesha kikao cha kamati kuu ya chama hicho kilichofanyika jana Ikulu jijini Daresalaam.(PICHA NA RAMADHANI OTHMAN)

Makamu mwenyekiti wa CCM Zanzibar,Rais mstaafu wa Zanzibar Dk Amani Abeid Karume na Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi na Mjumbe wa NEC,Dr Ali Mohamed Shein wakifurahia jambo katika ukumbi wa mkutano wa kikao cha kamati kuu ya chama hicho huko Ikulu jijini Dar es Salaam jana.

No comments:

Post a Comment