Kamanda mpya wa Vijana CCM Tawi la Bwawani kata ya Mwananyamala Steven Mengele Nyerere, akiongea na wana CCM. mara baada ya kutawazwa rasmi kuwa kamanda wa vijana wa kata hiyo leo kwenye mkutano uliofanyika katika ofisi za tawi hilo na kuhudhuriwa na wanachama wa chama hicho, pamoja na marafiki wa msanii huo anayeigiza sauti za viongozi. "Steve Nyerere" amewashukuru marafiki zake, wazee wake mtaani, mama zake pamoja na mama yake aliyemtaja kwa jina moja la Ritah.
WAZIRI MKUU: WATANZANIA TUNZENI AKIBA YA CHAKULA
2 hours ago



No comments:
Post a Comment