SIKILIZA NYIMBO ZA EASYMEN HAPA:


Electronic Press Kit
Quantcast

Tazama Small Interview ya Easymen Studio Hapa:

Wednesday, July 7, 2010

JANUARI MAKAMBA AJITOSA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA BUMBULI MKOANI TANGA !!


Pichani Januari Makamba


Januari Makama akiongea na waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam


Nimewaiteni kwa mambo mawili. Kwanza, kuzindua kitabu nilichokiandika. Pili, kuzungumzia uvumi na minong’ono kuhusu Jimbo la Bumbuli. natarajia kugombea nafasi ya Ubunge.



Baada ya kutafakari kwa kina, na kuzungumza na wana-Bumbuli wenzangu, nimeamua niombe fursa ya kuwa sauti yao, kuwawakilisha na kuwasemea Bungeni, kuwatumikia na kushirikiana nao kusukuma mbele gurudumu la maendeleo ya Jimbonikwetu.

No comments:

Post a Comment