Wednesday, July 7, 2010
JANUARI MAKAMBA AJITOSA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA BUMBULI MKOANI TANGA !!
Pichani Januari Makamba
Januari Makama akiongea na waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam
Nimewaiteni kwa mambo mawili. Kwanza, kuzindua kitabu nilichokiandika. Pili, kuzungumzia uvumi na minong’ono kuhusu Jimbo la Bumbuli. natarajia kugombea nafasi ya Ubunge.
Baada ya kutafakari kwa kina, na kuzungumza na wana-Bumbuli wenzangu, nimeamua niombe fursa ya kuwa sauti yao, kuwawakilisha na kuwasemea Bungeni, kuwatumikia na kushirikiana nao kusukuma mbele gurudumu la maendeleo ya Jimbonikwetu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment