SIKILIZA NYIMBO ZA EASYMEN HAPA:


Electronic Press Kit
Quantcast

Tazama Small Interview ya Easymen Studio Hapa:

Tuesday, September 7, 2010

HATIMAE KEISHA AZUNGUMZIA KILICHOMTOA TIPTOP CONNECTION



First Lady wa TIP TOP CONNECTION Keisha akiwa katika picha ya pamoja na wenzake.

**************

Kwanza ni ngumu mimi kufukuzwa Tip Top kwa sababu uwezo wangu unafahamika dhahiri, ukweli ni kwamba nikitoka basi kundi litayumba sana, mchango wangu ni mkubwa kimuziki. Mimi nimejitoa na sababu kubwa ni kwamba sina imani na uongozi,”

“Babu Tale asiseme uongo na kama wanahitaji nirudi, kabla ya yote nilipwe pesa zangu 480,000 ambazo ni madeni ya pesa alizokuwa akinisainia baada ya shoo na kuniletea pungufu, mwisho siwezi kulumbana nao kwa sababu nina mambo mengi ya kufanya kwa ajili ya kuongeza uchumi wa taifa letu,”

No comments:

Post a Comment