
Ni furaha na tabasamu ya kutosha kabisa kutoka kwa binti Geneviev Emanuel pichani kutoka kitongoji cha Temeke,ambaye ndiye aliyelinyakua taji la Miss Tanzania 2010 usiku wa kuamkia leo katika ukumbi wa mikutano wa Mlimani City,Mwenge jijini Dar na kuhudhuriwa na watu kibao,aidha mshindi wa pili alikuwa ni mrembo kutoka Arusha Glory Mwanga na mshindi wa tatu kutoka kitongoji cha Ilala,mrembo Consolata Lukosi.



No comments:
Post a Comment