Leo katika pitapita zangu mitaa ya Mabawa jijini Tanga nilikuta daladala hili likiwa limekataa kuendelea na safari baada ya kukatika Timing Road.
a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjTGGqz83gkr0i5fP00LW3tfMOnO8py9Evt00l6mKBQntom40SPlaiDEMazeVyX1HpmzAYfRG3X31t9_mvpceqoHmhilBuh3fyEAoHX-x86fOwYNbuoBbbRlZLro-1iaad_8LJod4q_QIM/s1600/Kwikwi+2..JPG">
Daladala hilo likiwa katikati ya Barabara.je nani wa kuchunguza kama chombo cha moto nia salama kwa kuingia barabarani ni dereva au Tajiri ?????.hii ni Hatari sana kama daladala hili lingekuwa katika mwendo kasi.



No comments:
Post a Comment