
Ofisa Uhusiano wa Tigo, Jackson Mmbando (kulia) akikabidhi mfano wa hundi ya sh milioni mia moja kwa mshindi wa zawadi kubwa ya promosheni ya Jikoki, Dora Temu jijini Dar es Salaam leo. Katikati ni Mkaguzi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha, Humudi Abdulhussein.



No comments:
Post a Comment