SIKILIZA NYIMBO ZA EASYMEN HAPA:


Electronic Press Kit
Quantcast

Tazama Small Interview ya Easymen Studio Hapa:

Saturday, August 28, 2010

CHAMA CHA CUF CHAANZA KAMPENI ZA UBUNGE JIJINI TANGA !!!


Mgombea Ubunge wa jimbo la Tanga Mjini kupitia tiketi ya Chama cha CUF,Mh Mussa Bakari Mbaruku.

Hapa akiwa jukwaani akiwahutubia wananchi wa Mabawa jijini Tanga katika viwanja vya Tropicana.


Wananch mbalimbali walijitokeza kusikiliza kampeni za mgombea huyu.

No comments:

Post a Comment