Mgombea Ubunge wa jimbo la Tanga Mjini kupitia tiketi ya Chama cha CUF,Mh Mussa Bakari Mbaruku.
Hapa akiwa jukwaani akiwahutubia wananchi wa Mabawa jijini Tanga katika viwanja vya Tropicana.
Wananch mbalimbali walijitokeza kusikiliza kampeni za mgombea huyu.



No comments:
Post a Comment