Saturday, August 7, 2010
LADY JAYDEE AFUNIKA MZALENDO PUB JANA KATIKA KUAZIMISHA MIAKA 10 KATIKA GEMU !!!
Lady jaydee akiwa jukwaani akifanya makamuzi na wanamuziki wenzie wa Machozi Band
Lady Jaydee akikata keki kuashiria kutimiza miaka 10 tangu aingie katika tasnia ya Muziki rasmi.Hongera sana Binti Machozi.
Mashabiki lukuki walijitokeza kumpa sapoti Binti Machozi na kukongwa roho zao vilivyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment