
Mnyange Mary Joel (katikati)ndiye aliyeibuka kinara kwa kulinyakua taji la kuwa Vodacom Miss Arusha City Centre 2011 katika ngazi ya kitongoji kanda ya Kaskazini.Pembeni yake kulia ni mshindi wa pili Neema Edward pamoja na Stacey Alfred.Shindano hilo lilifanyika usiku wa kuamkia leo katika Ukumbi wa Tripple A, Arusha.



No comments:
Post a Comment