SIKILIZA NYIMBO ZA EASYMEN HAPA:


Electronic Press Kit
Quantcast

Tazama Small Interview ya Easymen Studio Hapa:

Wednesday, November 3, 2010

RAIS MPYA WA ZANZIBAR DR SHEIN ALA KIAPO TAYARI KUONGOZA SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA !!!


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe, Dk Ali Mohammed Shein Akila Kiapo cha kuwa Rais wa awamu ya saba wa Zanzibar katika sherehe zilizofanyika Uwanja wa Amaan Mjini Unguja leo.


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe, Dk Ali Mohammd Shein, akikagua gwaride rasmi la vikosi vya ulinzi katika sherhe maalum cha kua kiapo cha kuwa Rais wa Awamu ya saba wa Zanzibar, katika uwanja wa Amaan Studiam, Mjini Unguja leo.

No comments:

Post a Comment