SIKILIZA NYIMBO ZA EASYMEN HAPA:


Electronic Press Kit
Quantcast

Tazama Small Interview ya Easymen Studio Hapa:

Tuesday, November 2, 2010

MWANAMUZIKI MR II (SUGU) SASA NI MHESHIMIWA JOSEPH MBILINYI !!!!


Mwanamuziki mkongwe na muanzilishi wa muziki wa Kizazi kipya maarufu kama Bongofleva nchini Tanzania MR II maarufu kama Sugu ameweza kushinda kwa kishindo nafasi ya Ubunge kwa jimbo la Mbeya Mjini kwa Tiketi ya Chama cha CHEDEMA.Mr II au Sugu amewashukuru watanzania hususani wakazi wa Mbeya Mjini kwa imani walioionyesha kwake kwa kumchagua kwa ushindi mkubwa kuwa mbunge wao kwa kipindi cha miaka 5 ijayo.Katika shukrani zake Sugu amewaahidi wakazi wa Mbeya mabadiliko ya ukweli ya kuleta maendeleo katika Jimbo hilo.

No comments:

Post a Comment