Mmmh hapa bwana alitulia.unaweza kusema sio yule ambae akiwa jukwaani kashika Mic na vituko vingi.Ni msanii kutoka kundi la mziki la wakali kwanza linaloundwa na yeye Qjay na Makamua.Hongera sana!!
WAZIRI MKUU: WATANZANIA TUNZENI AKIBA YA CHAKULA
2 hours ago



No comments:
Post a Comment