Msanii wa mziki wa bongo fleva kutoka Pande za Mkoa wetu wa Tanga,Hemedi PHD.amesema kuanzia sasa anaweka kando kujishughulisha na mambo ya Filamu na badala yake ataweka nguvu zake zote kwenye mziki ambao anaamini bado hajautumikia hata robo kutokana na Mafunzo aliyoyapata akiwa Tusker Project Fame.
WAZIRI MKUU: WATANZANIA TUNZENI AKIBA YA CHAKULA
2 hours ago



No comments:
Post a Comment