SIKILIZA NYIMBO ZA EASYMEN HAPA:


Electronic Press Kit
Quantcast

Tazama Small Interview ya Easymen Studio Hapa:

Saturday, April 10, 2010

HEMEDI (PHD)SASA KUDEAL NA MZIKI TU.

Msanii wa mziki wa bongo fleva kutoka Pande za Mkoa wetu wa Tanga,Hemedi PHD.amesema kuanzia sasa anaweka kando kujishughulisha na mambo ya Filamu na badala yake ataweka nguvu zake zote kwenye mziki ambao anaamini bado hajautumikia hata robo kutokana na Mafunzo aliyoyapata akiwa Tusker Project Fame.

No comments:

Post a Comment