Blog hii ya Easymen inatoa pole kwa waathirika wote waliokumbwa na maafa hayo.na pia tunamuomba mwenyezi Mungu azilaze pema peponi roho za marehemu wote waliopoteza maisha kwa ajili ya mafuriko hayo. Tuko nanyi katika kipindi hiki kigumu.
MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI AFRIKA. AMEN.
No comments:
Post a Comment