SIKILIZA NYIMBO ZA EASYMEN HAPA:


Electronic Press Kit
Quantcast

Tazama Small Interview ya Easymen Studio Hapa:

Saturday, June 11, 2011

MWIZI APONEA CHUPUCHUPU KUUAWA NA WANANCHI BAADA YA KUIBA VIATU MSIKITINI !!!

Umati wa watu ukiwa umezingira msikiti wa Mabawa kungojea mwizi aliyekatwa msikitini hapo akiiba Makobazi.Uongozi wa msikiti huo ilibidi kumficha mwizi huyo ndani kutokana na wananchi wenye hasira kali kutaka kumpiga hadi kumuua.baada ya mvutano mkali kati ya wananchi waliotaka mwizi huyo atolewe ili wamuadhibu uongozi wa msikiti uliliarif jeshi la polisi ili kuleta ulinzi na kumuondoa mwizi huyo akiwa salama.mara ya kwanza walifika polisi 4 ambao pia wananchi waliwazidi nguvu jeshi la polisi lilileta kikosi cha kutuliza ghasia FFU ambapo walifanikiwa kuwadhibiti wananchi na kumtoa mwizi huyo kutoka kwenye msikiti na kumpeleka Kituoni.


Gari la polisi kikosi cha kutuliza ghasia likiondoka katika msikiti huo maeneo ya Mabawa na mwizi huyo akiwa ndani ya gari hilo.


Gari hilo la polisi likitokomea na wananchi wasijue wafanye nini.

No comments:

Post a Comment