
Siku ya Jumatatu iliyopita nilifanya ziara ndogo ya kuwasalimu rafiki zangu wa Emptysoulz Production jijini Dar es Salaam.hapa nikila pozi Empty Soulz.

Ukifika katika Ofisi za Empty Soulz lazima utakutana na Sign hii mlango wa kuingia ofisi zao.

Mimi Pashua na rafiki yangu H Baba tulikutana Emptysoulz na kubadilishana mawazo ya hapa na pale na pia kumpongeza kwa kuwa mfungaji wa Mabao yote mawili dhidi ya Bongo Movie.



No comments:
Post a Comment