SIKILIZA NYIMBO ZA EASYMEN HAPA:


Electronic Press Kit
Quantcast

Tazama Small Interview ya Easymen Studio Hapa:

Saturday, February 5, 2011

DUH HII HAIJAKAA POA!!!


Kwenye mtandao wa Facebook mtu mzima Jaffarai ameendelea na maneno yake na leo ametoboa hivi daaah:


"Nimeachana na Shyrose Bhanji (kicheche mzee) baada ya kugundua km anatoka kimapenzi na mr 2... ni aibu sana kwa mwanamke mwenye miaka 42 kua kicheche kiac hicho!!!! nilitegemea mtu km mr 2 angeanza kufanya harakati ktk mziki wetu lkn harakati zake zimehamia kwenya mapenzi na madem wa wasanii wenzake... ni aibu kubwa sana"

No comments:

Post a Comment